Your cart is currently empty!
Mafundisho ya Yesu Mlimani
Ufunguo wa maisha ya kiroho yenye raha

Article Nr.: G304sw
16 pages
Product Information
Kristu anazungumza (Sehemu za kitabu ยซHili ndilo Neno Languยป):
Mafundisho ya Mlimani ni njia ya kiroho inayoongoza moyoni mwa Mungu, kwenye ukamilifu.
Ninaongoza watu wangu kwenye ufahamu wa ukweli.
ยซHeri walio maskini wa roho, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao!ยป Neno ยซmaskiniยป halimaanishi ukosefu wa mali. Siyo ukosefu wa mali ndio unaleta raha rohoni bali mshikamano wa kina na Mungu, kwa kutimiza mapenzi yake. Huo ndio utajiri wa kiroho.
Neno ยซmaskiniยป lamaanisha wale wote wasiotafuta kumiliki na kujirundikia maliโฆ Utajiri wao wa ndani ni maisha katika Mungu, kwa manufaa ya Mungu na ya majirani wao. Wanatimiza amri ยซOmba na tenda kaziยป.
ยซHeri wanaoteswa, kwa maana watafarijiwa.ยป
Mungu siye mhusika wa mateso ya mwanadamuโฆ