Spiritual Books To Learn From, and Attain Ethical Moral Values

Subscribe

Newsletter

Sign In

My Account

Cart

New

Mafundisho ya Yesu Mlimani

Ufunguo wa maisha ya kiroho yenye raha

 0,00

Includes 7% reduced VAT
Available immediately, delivery time 3-5 workdays **

Product Information

Kristu anazungumza (Sehemu za kitabu «Hili ndilo Neno Langu»):

Mafundisho ya Mlimani ni njia ya kiroho inayoongoza moyoni mwa Mungu, kwenye ukamilifu.
Ninaongoza watu wangu kwenye ufahamu wa ukweli.

«Heri walio maskini wa roho, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao!» Neno «maskini» halimaanishi ukosefu wa mali. Siyo ukosefu wa mali ndio unaleta raha rohoni bali mshikamano wa kina na Mungu, kwa kutimiza mapenzi yake. Huo ndio utajiri wa kiroho.
Neno «maskini» lamaanisha wale wote wasiotafuta kumiliki na kujirundikia mali… Utajiri wao wa ndani ni maisha katika Mungu, kwa manufaa ya Mungu na ya majirani wao. Wanatimiza amri «Omba na tenda kazi».
«Heri wanaoteswa, kwa maana watafarijiwa.»

Mungu siye mhusika wa mateso ya mwanadamu…

Mafundisho ya Yesu Mlimani
 0,00